Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Gernot Rohr, ametabiri matokeo ya fainali ya mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia ...
ISLAM Makhachev, mpiganaji wa mchanganyiko wa sanaa za mapigano (MMA) amefanya kweli baada ya kumzidi ujanja Jack Della Maddalena katika pambano la raundi tano na kutwaa ubingwa wa UFC uzito ...
STRAIKA wa England na Bayern Munich, Harry Kane anaendelea kufumania nyavu kwa kasi ya ajabu msimu huu, lakini ni kama ...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Ureno (PFF), limetoa taarifa ya kutokubaliana na adhabu aliyopewa nahodha na mshambuliaji wa ...
MIONGONI mwa viungo wanaofanya vizuri kwenye kikosi cha Coastal Union ni pamoja na Bakari Msimu ambaye ni msimu wake wa tatu kuitumikia timu hiyo akipandishwa kutoka kikosi cha vijana.
MAMBO yanabadilika. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema unapoizungumzia Mtibwa Sugar ya sasa kutokana na kuingia kwenye mfumo wa ...
Hatua ya Yanga kuichukua hoteli hiyo itaifanya FAR Rabat kuangukia hoteli nyingine (jina tunalo), ambayo ilitumiwa na wenzao ...
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara, JKT Queens wametupwa nje kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya ...
JUZI Simba ilitoa ripoti ya kumkosa kipa namba moja, Moussa Camara, kwa kati ya wiki nane hadi 10 ikiwa siyo taarifa njema ...
SUPASTAA, Cristiano Ronaldo kijasho kinamtoka kwa sasa juu ya uwezekano wa kukutana na adhabu ambayo inaweza kumfanya akose ...
Anthony Edwards (Anti-Man), ameelezea hisia zake baada ya timu yake ya Minnesota Timberwolves kuifunga Sacramento Kings ...
MABINGWA wa soka wa Ufaransa na Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris St-Germain wameripotiwa kutengeneza mchakato madhubuti kabisa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results